Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

 

Kixhosa

Kixhosa ni lugha ya Kibantu hasa nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Waxhosa. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kixhosa nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu 7,790,000. Pia kuna wasemaji nchini Botswana na Lesotho. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kixhosa iko katika kundi la S40.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kixhosa kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Information related to Kixhosa

Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya