Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

 

Bonde la Usangu

8°45′S 33°48′E / 8.75°S 33.80°E / -8.75; 33.80

Bonde la Usangu (pia: uwanja wa Usangu, ing. Usangu Flats) ni bonde la mkoa wa Mbeya nchini Tanzania. Ni sehemu ya Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki.

Usangu pia ni jina la mlima wa volkeno ambao urefu wake ni mita 2169.

Tazama pia

Marejeo

Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya