Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

 

Uwanja wa Michezo wa Ajinomoto

Uwanja wa Michezo wa Ajinomoto

Uwanja wa Michezo wa Ajinomoto ni uwanja wa mpira wa miguu nchini Japani. Ambao ulizinduliwa mnamo mwaka 2000 kwenye mji wa Chofu, Tokyo nchini Japani. Uwanja huu hutumiwa na timu ya FC Tokyo, Tokyo Verdy 1969 na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 49,970.[1]

Marejeo

  1. "Viwanja Vya mpira nchini Japani". www.stadiumdb.com.
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa Michezo wa Ajinomoto kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Information related to Uwanja wa Michezo wa Ajinomoto

Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya