Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

 

Bahari ya Bering

Bahari ya Bering

Bahari ya Bering ni bahari ya kando ya Pasifiki iliyopo kusini kwa Urusi na Alaska. Eneo lake ni km² 2.315.000.

Mlango wa Bering uko kaskazini kwake.

Upande wa kusini safu ya visiwa vya Aleuti ni mpaka kati ya Bahari ya Bering na Pasifiki.

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

Information related to Bahari ya Bering

Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya